Tuesday, 1 September 2015

HOTUBA YA DR SLAA NI FUNDISHO TOSHA

Kulingana na hotuba ya Dr Slaa ya Leo tarehe 1 Sep 2015 watanzania inabidi tuwe makini na swala nzima la kuchagua Kiongozi atakayetupeleka Mbele; kutuvusha katika dimbwi hili la umaskini ; mwenyewe huruma na taifa letu. Tusifanye makosa tena  maana umaskini ,maradhi na ELIMU duni kweli vinauma. CHAGUA JOHN POMBE MAGUFULI

No comments:

Post a Comment