Serikali kupitia kwa waziri wake Mh. Simbawachene amesema watumishi wasitegemee kupata nyongeza yoyote kwa mwaka wa fedha 2016/2017.
Amesema labda madaraja sawa ila hilo la nyongeza na increment hatafanya .
Hadi sasa viongozi wa chama C. W. T wanatafuta namna ya kumwendea wakamuulize baada ya waziri kudai maswali mengine yeye hana majibu ila Rais mwenyewe.
No comments:
Post a Comment