DC. Alipata Taarifa kutoka kwa katibu uvccm wilaya ya Ukerewe kwa njia ya simu.
Katibu alieleza amekutana na Tukio ilo muda si mrefu na kuamua kufika shule hiyo ya Uhuru na kukuta ni kweli ndipo alipochukua hatua kumuomba Mh. DC awatume askari wamuweke ndani mwl huyo.Pia mwenyekiti wa Halmashauri wilaya ya ukerewe MH *George Machela Nyamaha* baada ya kufika eneo la Tukio alisikitishwa sana na hali hiyo , ila alishukuru kitendo cha DC kumuweka ndani mwl huyo ili liwe fundisho na kwa waalimu wengine wenye Tabia kama hizo.

Mama mzazi wa mtoto azimia baada ya kumtafuta mtoto wake kwa muda mrefu na baadae kumkuta shuleni akiwa amefungiwa na kufuli

Akiongea na waandishi wa habari katibu uvccm comrede *Hussein Egobano* alisema kuwa anawaomba waalimu kutumia Taaluma zao vizuri wawapo katika vituo vyao vya kazi .
No comments:
Post a Comment