Tuesday, 25 October 2016

TUOMBE KWA AJILI YA WANAUME.

TUOMBE KWA AJILI YA WANAUME.
.1.Atapiga offer za kutosha bar lakini nyumbani harudi hata na fanta ya kopo

Waondolee sifa za kijinga baba😞😞😞

2.Ana pair moja ya soksi akivua humo ndani mtafutano

Wasafishe mwili na roho babaπŸ˜€πŸ˜€

3.anarudi usiku wa manane ila sharti amkute mkewe hajalala ili afunguliwe mlango

Sio wao baba teta nao😠😠😠

4.mchepuko unanunuliwa nyama daily, wakati watoto na mama wamekuwa sungura kwa kula majani kila Leo

Warudishe njia kuu baba

5.hawataki kabisa simu zikaguliwe na wake zao kila program imewekwa password

Waongezee uaminifu baba😐😐😐

6.akichinjwa kuku basi wao hupewa mapaja filigisi na sehemu zingine nzuri

Wape uchu wa kupenda vipapatio na shingo za kuku babaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

7.house girl akijichanganya kapewa mimba

Waepushe na tamaa za mwili baba😌😌😌

8.ameshika ratiba ya mpira wa uingereza kuliko mahitaji ya msingi ya nyumbani.

Wajaze baraka za kujali babaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

9.ifikapo siku za ibada wengi hawaendi, huwatuma wake zao wakawaombee

Siku ya hukumu kila mmoja abebe msalaba wake baba😒😒😒

10.kwenye simu ataandika majina ya chinga,Braza,na Fidelis muosha magari kumbe hao ni ASHURA na Margret na *Salome*
πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒπŸƒ

Waumbue babaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

No comments:

Post a Comment